ads slot

Latest Posts:

Bunge Latoa Msimamo Wake Kuhusu Naibu Spika Tulia Ackson Kukataliwa na Kambi ya Upinzania


Katibu wa Bunge, Dk. Thomas Kashililah

Katibu wa Bunge, Dk. Thomas Kashililah, amesema msimamo wa wabunge wa upinzani kutohudhuria vikao vinavyoongozwa na Dk. Tulia hauwezi kuathiri shughuli za Bunge na uongozi wa Bunge hauoni tatizo la Dk. Tulia kwani ni kiongozi mahiri anayesimamia kanuni wakati wa kuliongoza Bunge.
Neno moja kwa Katibu wa Bunge
Share on Google Plus

About felkiul

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment