ads slot

Latest Posts:

Serikali Yasalimu Amri..Yaipa NIDA Sh Bilion 2.3 Kulipa Watumishi 597 Waliosimamishwa Kazi



Serikali imeipa Shilingi Bilioni 2.3 Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa(NIDA), kwa ajili ya kuwalipa watumishi 597 waliosimamishwa kazi.

Malipo hayo yanahusisha mishahara yao ya miezi minne, ukiwemo mshahara wa mwezi mmoja wa notisi ya kusimamishwa kazi, pamoja na malimbikizo ya madeni yao katika mifuko ya hifadhi ya jamii.

Share on Google Plus

About felkiul

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment